Mkutano wa UN?watoa wito wa kuzidi kushughulikia habari katika tume za kulinda amani

(CRI Online) Oktoba 24, 2023

Mkutano wa maandalizi kwa ajili ya mkutano wa mawaziri wa ulinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 2023 umefanyika Jumatatu mjini Kigali nchini Rwanda, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa kuimarisha mbinu za kukabiliana na changamoto za habari zilizomo ndani ya tume za kulinda amani.

Kwenye mkutano huo, Waziri wa Ulinzi wa Rwanda Bw. Juvenal Marizamunda amesisitiza umuhimu wa mkutano huo, kwa kuwa tume za kulinda amani kote duniani zinakabiliwa na changamoto kwenye kazi za usambazaji askari. Amesema changamoto hizo zinaathiri zaidi kazi kuu ya kuwalinda raia ambapo habari potofu, za uongo na kauli za chuki zinaenea kwa kasi zaidi kupitia vyombo vya habari vya kijamii.

Msaidizi wa Katibu Mkuu wa UN anayeshughulikia mambo ya Afrika Martha Ama Akyaa Pobee ametoa wito wa kuweka mkakati wa mawasiliano wa pande zote unaoendana na masuala makuu ya kisiasa na kiusalama.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha

又大又粗又爽又黄的少妇_国产欧美日韩亚洲精品区_欧美重口另类在线播放二区_边做饭边被躁在线播放